11 Je, taifa limebadili miungu,+ kwa ajili ya ile ambayo si miungu?+ Lakini watu wangu mwenyewe wameubadili utukufu wangu kwa ajili ya kitu ambacho hakiwezi kuleta faida yoyote.+
6 Naye alijiendesha kwa kuyaasi maamuzi yangu ya hukumu katika uovu kuliko mataifa,+ na kuziasi sheria zangu kuliko nchi zinazomzunguka pande zote, kwa maana waliyakataa maamuzi yangu ya hukumu, nao hawakutembea katika sheria zangu.’+