8 nao wakaendelea kutembea katika sheria+ za mataifa ambayo Yehova alikuwa ameyafukuza kutoka mbele ya wana wa Israeli, na katika sheria za wafalme wa Israeli ambazo walikuwa wametunga;
47 Nawe hukutembea katika njia zao, wala hukufanya kulingana na machukizo yao.+ Baada ya kitambo kidogo sana hata ulianza kutenda kwa uharibifu zaidi kuliko walivyofanya katika njia zako zote.+