4 Ole wake taifa lenye dhambi,+ watu walio na kosa zito, uzao unaotenda maovu,+ wana wenye kuharibu!+ Wamemwacha Yehova,+ wamemvunjia heshima Mtakatifu wa Israeli,+ wamegeuka kuelekea nyuma.+
13 Na kwamba umsahau Yehova Mtengenezaji wako,+ Yeye anayezitandaza mbingu+ na kuweka msingi wa dunia,+ hivi kwamba ulikuwa na hofu sikuzote mchana kutwa kwa sababu ya ghadhabu ya mtu anayekusonga,+ kana kwamba alikuwa amejitayarisha kukuangamiza?+ Na iko wapi ghadhabu ya yule anayekusonga?+