Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Yehova alipoona hilo, ndipo akawadharau wao,+

      Kwa sababu ya usumbufu uliosababishwa na wanawe na binti zake.

  • Yeremia 7:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 ‘Je, wananitia mimi uchungu?’ asema Yehova.+ ‘Je, si wao wenyewe, kusudi watie nyuso zao aibu?’+

  • Yeremia 50:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “Iteni wapiga-mishale juu ya Babiloni, wote wanaokanyaga upinde.+ Pigeni kambi juu yake pande zote. Wenye kuponyoka na wasiwepo.+ Mlipeni yeye kulingana na matendo yake.+ Kulingana na yote ambayo ametenda, mtendeeni vivyo hivyo.+ Kwa maana yeye ametenda kwa kimbelembele juu ya Yehova, juu ya Mtakatifu wa Israeli.+

  • 1 Wakorintho 10:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Au je, “tunamchochea Yehova kuwa na wivu”?+ Je, sisi tuna nguvu+ zaidi kuliko yeye?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki