Isaya 14:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa habari yako, wewe umesema moyoni mwako, ‘Nitaenda juu mbinguni.+ Nitakiinua kiti changu cha ufalme+ juu ya nyota+ za Mungu, nami nitaketi juu ya mlima wa mkutano,+ katika sehemu za mbali zaidi za kaskazini.+ Isaya 47:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Kuna Yeye anayetukomboa.+ Yehova wa majeshi ni jina lake,+ Mtakatifu wa Israeli.”+
13 Kwa habari yako, wewe umesema moyoni mwako, ‘Nitaenda juu mbinguni.+ Nitakiinua kiti changu cha ufalme+ juu ya nyota+ za Mungu, nami nitaketi juu ya mlima wa mkutano,+ katika sehemu za mbali zaidi za kaskazini.+