Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 45:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Hakika wote wataona aibu na kufedheheshwa.+ Watengenezaji wa maumbo ya sanamu watatembea kwa kufedheheka pamoja.

  • Yeremia 20:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Lakini Yehova alikuwa pamoja nami+ kama mwenye nguvu anayetisha.+ Ndiyo sababu wale wanaonitesa watajikwaa nao hawatashinda.+ Hakika watapatwa na aibu kabisa, kwa sababu hawatakuwa wamefanikiwa. Fedheha yao inayodumu mpaka wakati usio na kipimo haitasahauliwa.+

  • Danieli 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwako wewe, Ee Yehova, kuna uadilifu, lakini kwetu sisi kuna aibu ya uso kama ilivyo leo hii,+ kwa watu wa Yuda na kwa wakaaji wa Yerusalemu na kwa watu wote wa Israeli, wale walio karibu na wale walio mbali katika nchi zote ambako uliwatawanya kwa sababu ya ukosefu wao wa uaminifu waliokutendea.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki