Zaburi 97:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wote wanaotumikia sanamu yoyote ya kuchongwa na waone aibu,+Wale wanaojisifia miungu isiyo na thamani.+Mwinamieni, enyi miungu yote.+ Isaya 44:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wanaofanya sanamu ya kuchongwa wote ni ubatili,+ na vipenzi vyao hawatakuwa na faida yoyote;+ na wakiwa mashahidi wao hawaoni lolote wala hawajui lolote,+ ili waone aibu.+
7 Wote wanaotumikia sanamu yoyote ya kuchongwa na waone aibu,+Wale wanaojisifia miungu isiyo na thamani.+Mwinamieni, enyi miungu yote.+
9 Wanaofanya sanamu ya kuchongwa wote ni ubatili,+ na vipenzi vyao hawatakuwa na faida yoyote;+ na wakiwa mashahidi wao hawaoni lolote wala hawajui lolote,+ ili waone aibu.+