Kutoka 12:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nami nitapita katikati ya nchi ya Misri usiku huu+ na kumpiga kila mzaliwa wa kwanza katika nchi ya Misri, kuanzia mwanadamu hata mnyama;+ nami nitatekeleza hukumu+ juu ya miungu yote ya Misri. Mimi ni Yehova.+ Kutoka 18:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Sasa najua kwamba Yehova ni mkuu kuliko miungu+ mingine yote kwa sababu ya jambo hili walilotenda kwa kimbelembele dhidi yao.” Zaburi 86:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hakuna yeyote aliye kama wewe katikati ya miungu, Ee Yehova,+Wala hakuna kazi zozote kama zako.+ Waebrania 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini anapomleta tena Mzaliwa wake wa kwanza+ katika dunia inayokaliwa, yeye asema: “Malaika+ wote wa Mungu na wamsujudie.”+
12 Nami nitapita katikati ya nchi ya Misri usiku huu+ na kumpiga kila mzaliwa wa kwanza katika nchi ya Misri, kuanzia mwanadamu hata mnyama;+ nami nitatekeleza hukumu+ juu ya miungu yote ya Misri. Mimi ni Yehova.+
11 Sasa najua kwamba Yehova ni mkuu kuliko miungu+ mingine yote kwa sababu ya jambo hili walilotenda kwa kimbelembele dhidi yao.”
6 Lakini anapomleta tena Mzaliwa wake wa kwanza+ katika dunia inayokaliwa, yeye asema: “Malaika+ wote wa Mungu na wamsujudie.”+