Zaburi 91:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana atawaamuru malaika zake kukuhusu wewe,+Ili kukulinda katika njia zako zote.+ Luka 22:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Ndipo malaika kutoka mbinguni akamtokea akamtia nguvu.+ Yohana 20:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 naye akaona malaika+ wawili waliokuwa wamevaa mavazi meupe wakiwa wameketi mmoja kichwani na mwingine miguuni ambapo mwili wa Yesu ulikuwa umelazwa.
12 naye akaona malaika+ wawili waliokuwa wamevaa mavazi meupe wakiwa wameketi mmoja kichwani na mwingine miguuni ambapo mwili wa Yesu ulikuwa umelazwa.