Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 19:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Mwishowe akalala chini, akashikwa na usingizi chini ya ule mretemu.+ Lakini, tazama! Malaika+ akamgusa.+ Ndipo akamwambia: “Amka, ule.”

  • Isaya 49:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Yehova amesema hivi: “Katika wakati wa nia njema nimekujibu,+ na katika siku ya wokovu nimekusaidia;+ nami nikaendelea kukulinda ili nikutoe uwe agano kwa ajili ya watu,+ kuitengeneza upya nchi,+ kuyafanya mafungu ya urithi yaliyofanywa ukiwa yamilikiwe tena,+

  • Danieli 10:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ndipo yule mwenye sura ya mtu wa udongo akanigusa tena na kunitia nguvu.+

  • Mathayo 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ndipo Ibilisi akamwacha,+ na, tazama! malaika wakaja na kuanza kumhudumia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki