Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 10:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na, tazama! mkono fulani ukanigusa,+ nao ukanitikisa polepole niinuke kwa magoti yangu na viganja vya mikono yangu.

  • Matendo 12:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Lakini, tazama! malaika wa Yehova akasimama+ kando, na nuru ikang’aa katika chumba cha gereza. Akampiga Petro ubavuni, akamwamsha,+ akisema: “Amka upesi!” Na minyororo yake ikaanguka+ kutoka kwenye mikono yake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki