Danieli 10:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na, tazama! mkono fulani ukanigusa,+ nao ukanitikisa polepole niinuke kwa magoti yangu na viganja vya mikono yangu. Matendo 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini, tazama! malaika wa Yehova akasimama+ kando, na nuru ikang’aa katika chumba cha gereza. Akampiga Petro ubavuni, akamwamsha,+ akisema: “Amka upesi!” Na minyororo yake ikaanguka+ kutoka kwenye mikono yake.
10 Na, tazama! mkono fulani ukanigusa,+ nao ukanitikisa polepole niinuke kwa magoti yangu na viganja vya mikono yangu.
7 Lakini, tazama! malaika wa Yehova akasimama+ kando, na nuru ikang’aa katika chumba cha gereza. Akampiga Petro ubavuni, akamwamsha,+ akisema: “Amka upesi!” Na minyororo yake ikaanguka+ kutoka kwenye mikono yake.