Yeremia 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Basi Yehova akanyoosha mkono wake na kunigusa kinywa+ changu. Ndipo Yehova akaniambia: “Tazama, nimeyatia maneno yangu katika kinywa chako.+ Danieli 9:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 nami nilipokuwa ningali nasema katika sala, tazama, yule mwanamume Gabrieli,+ ambaye nilikuwa nimemwona katika maono mwanzoni,+ baada ya kuchoshwa na uchovu, akawa anafika kando yangu wakati wa toleo la zawadi la jioni.+ Ufunuo 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nami nilipomwona, nikaanguka kana kwamba nimekufa miguuni pake. Naye akaweka mkono wake wa kuume juu yangu na kusema: “Usiogope.+ Mimi ndiye wa Kwanza+ na wa Mwisho,+
9 Basi Yehova akanyoosha mkono wake na kunigusa kinywa+ changu. Ndipo Yehova akaniambia: “Tazama, nimeyatia maneno yangu katika kinywa chako.+
21 nami nilipokuwa ningali nasema katika sala, tazama, yule mwanamume Gabrieli,+ ambaye nilikuwa nimemwona katika maono mwanzoni,+ baada ya kuchoshwa na uchovu, akawa anafika kando yangu wakati wa toleo la zawadi la jioni.+
17 Nami nilipomwona, nikaanguka kana kwamba nimekufa miguuni pake. Naye akaweka mkono wake wa kuume juu yangu na kusema: “Usiogope.+ Mimi ndiye wa Kwanza+ na wa Mwisho,+