Yohana 5:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana kama vile Baba anavyowafufua wafu na kuwafanya hai,+ ndivyo Mwana pia anavyowafanya hai wale anaotaka kuwafanya hai.+ Yohana 6:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Kwa maana haya ndiyo mapenzi ya Baba yangu, kwamba kila mtu ambaye humtazama Mwana na kumwamini awe na uzima wa milele,+ nami nitamfufua katika siku ya mwisho.”+ Ufunuo 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Na kwa malaika+ wa kutaniko katika Smirna andika: Haya ndiyo mambo anayosema, ‘wa Kwanza na wa Mwisho,’+ aliyekufa na akawa hai tena,+
21 Kwa maana kama vile Baba anavyowafufua wafu na kuwafanya hai,+ ndivyo Mwana pia anavyowafanya hai wale anaotaka kuwafanya hai.+
40 Kwa maana haya ndiyo mapenzi ya Baba yangu, kwamba kila mtu ambaye humtazama Mwana na kumwamini awe na uzima wa milele,+ nami nitamfufua katika siku ya mwisho.”+
8 “Na kwa malaika+ wa kutaniko katika Smirna andika: Haya ndiyo mambo anayosema, ‘wa Kwanza na wa Mwisho,’+ aliyekufa na akawa hai tena,+