Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 5:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa maana kama vile Baba anavyowafufua wafu na kuwafanya hai,+ ndivyo Mwana pia anavyowafanya hai wale anaotaka kuwafanya hai.+

  • Yohana 6:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Kwa maana haya ndiyo mapenzi ya Baba yangu, kwamba kila mtu ambaye humtazama Mwana na kumwamini awe na uzima wa milele,+ nami nitamfufua katika siku ya mwisho.”+

  • Ufunuo 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Na kwa malaika+ wa kutaniko katika Smirna andika: Haya ndiyo mambo anayosema, ‘wa Kwanza na wa Mwisho,’+ aliyekufa na akawa hai tena,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki