Luka 7:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ndipo akakaribia na kuligusa sanduku, na wachukuzi wakasimama tuli, naye akasema: “Kijana, ninakuambia, Inuka!”+ Luka 8:54 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 54 Lakini akamshika mkono wake akamwita, akisema: “Msichana, inuka!”+ Yohana 11:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Yesu akamwambia: “Mimi ndiye ufufuo na uzima.+ Yule anayeniamini, hata akifa, atarudi kwenye uzima;+ Ufunuo 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 na aliye hai;+ nami nilikufa,+ lakini, tazama! ninaishi milele na milele,+ nami nina funguo za kifo+ na za Kaburi.*+
14 Ndipo akakaribia na kuligusa sanduku, na wachukuzi wakasimama tuli, naye akasema: “Kijana, ninakuambia, Inuka!”+
25 Yesu akamwambia: “Mimi ndiye ufufuo na uzima.+ Yule anayeniamini, hata akifa, atarudi kwenye uzima;+
18 na aliye hai;+ nami nilikufa,+ lakini, tazama! ninaishi milele na milele,+ nami nina funguo za kifo+ na za Kaburi.*+