21 Naye akajinyoosha juu ya yule mtoto+ mara tatu na kumwita Yehova na kusema: “Ee Yehova, Mungu wangu, tafadhali, irudishe nafsi+ ya mtoto huyu ndani yake.”
40 Lakini Petro akamtoa kila mtu nje,+ akapiga magoti, akasali, akaugeukia ule mwili, akasema: “Tabitha, inuka!” Akafungua macho yake na, alipomwona Petro, akaketi wima.+