Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 17:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Naye akajinyoosha juu ya yule mtoto+ mara tatu na kumwita Yehova na kusema: “Ee Yehova, Mungu wangu, tafadhali, irudishe nafsi+ ya mtoto huyu ndani yake.”

  • Luka 8:54
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 54 Lakini akamshika mkono wake akamwita, akisema: “Msichana, inuka!”+

  • Yohana 11:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Na alipokuwa amekwisha kusema hayo, akaita kwa sauti kubwa: “Lazaro, njoo huku nje!”+

  • Matendo 9:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Lakini Petro akamtoa kila mtu nje,+ akapiga magoti, akasali, akaugeukia ule mwili, akasema: “Tabitha, inuka!” Akafungua macho yake na, alipomwona Petro, akaketi wima.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki