Marko 5:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Na, akiushika mkono wa mtoto huyo, akamwambia: “Talitha kumi,” maneno ambayo yanapotafsiriwa, yanamaanisha: “Mwanamwali, ninakuambia, Simama!”+ Luka 7:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ndipo akakaribia na kuligusa sanduku, na wachukuzi wakasimama tuli, naye akasema: “Kijana, ninakuambia, Inuka!”+ Yohana 11:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Na alipokuwa amekwisha kusema hayo, akaita kwa sauti kubwa: “Lazaro, njoo huku nje!”+
41 Na, akiushika mkono wa mtoto huyo, akamwambia: “Talitha kumi,” maneno ambayo yanapotafsiriwa, yanamaanisha: “Mwanamwali, ninakuambia, Simama!”+
14 Ndipo akakaribia na kuligusa sanduku, na wachukuzi wakasimama tuli, naye akasema: “Kijana, ninakuambia, Inuka!”+