Mwanzo 35:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Basi nafsi+ yake ilipokuwa ikitoka (kwa sababu alikufa)+ akamwita jina lake Ben-oni; lakini baba yake akamwita Benyamini.+ Yeremia 15:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mwanamke anayezaa watoto saba amedhoofika; nafsi yake imepambana ili kupata pumzi.+ Jua lake limetua wakati kungali mchana;+ limeona aibu na kufedheheka.’ ‘Nami nitaupa upanga mabaki yao mbele ya adui zao,’+ asema Yehova.”
18 Basi nafsi+ yake ilipokuwa ikitoka (kwa sababu alikufa)+ akamwita jina lake Ben-oni; lakini baba yake akamwita Benyamini.+
9 Mwanamke anayezaa watoto saba amedhoofika; nafsi yake imepambana ili kupata pumzi.+ Jua lake limetua wakati kungali mchana;+ limeona aibu na kufedheheka.’ ‘Nami nitaupa upanga mabaki yao mbele ya adui zao,’+ asema Yehova.”