9 “ ‘Na itakuwa katika siku hiyo,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘kwamba nitalifanya jua lishuke katikati ya mchana,+ nami nitailetea nchi giza siku ya mwangaza.
6 ‘Basi ninyi mtakuwa na usiku,+ kusiweko maono;+ nanyi mtakuwa na giza, ili msifanye uaguzi. Nalo jua litatua juu ya manabii, na mchana utakuwa mweusi juu yao.+