Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 15:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Mwanamke anayezaa watoto saba amedhoofika; nafsi yake imepambana ili kupata pumzi.+ Jua lake limetua wakati kungali mchana;+ limeona aibu na kufedheheka.’ ‘Nami nitaupa upanga mabaki yao mbele ya adui zao,’+ asema Yehova.”

  • Mika 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 ‘Basi ninyi mtakuwa na usiku,+ kusiweko maono;+ nanyi mtakuwa na giza, ili msifanye uaguzi. Nalo jua litatua juu ya manabii, na mchana utakuwa mweusi juu yao.+

  • Mathayo 24:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “Mara baada ya ile dhiki ya siku hizo jua litatiwa giza,+ nao mwezi+ hautatoa nuru yake, nazo nyota zitaanguka kutoka mbinguni, nazo nguvu za mbingu zitatikiswa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki