9 Mwanamke anayezaa watoto saba amedhoofika; nafsi yake imepambana ili kupata pumzi.+ Jua lake limetua wakati kungali mchana;+ limeona aibu na kufedheheka.’ ‘Nami nitaupa upanga mabaki yao mbele ya adui zao,’+ asema Yehova.”
6 ‘Basi ninyi mtakuwa na usiku,+ kusiweko maono;+ nanyi mtakuwa na giza, ili msifanye uaguzi. Nalo jua litatua juu ya manabii, na mchana utakuwa mweusi juu yao.+
29 “Mara baada ya ile dhiki ya siku hizo jua litatiwa giza,+ nao mwezi+ hautatoa nuru yake, nazo nyota zitaanguka kutoka mbinguni, nazo nguvu za mbingu zitatikiswa.+