Yeremia 15:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mwanamke aliyezaa watoto saba amedhoofika;Anapumua* kwa shida. Jua lake limetua wakati bado ni mchana,Na kusababisha aibu na fedheha.’* ‘Na wachache waliobaki kati yaoNitawaacha waangamizwe kwa upanga na maadui wao,’ asema Yehova.”+
9 Mwanamke aliyezaa watoto saba amedhoofika;Anapumua* kwa shida. Jua lake limetua wakati bado ni mchana,Na kusababisha aibu na fedheha.’* ‘Na wachache waliobaki kati yaoNitawaacha waangamizwe kwa upanga na maadui wao,’ asema Yehova.”+