Mwanzo 46:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na wana wa Benyamini walikuwa Bela+ na Bekeri+ na Ashbeli, Gera+ na Naamani,+ Ehi na Roshi, Mupimu+ na Hupimu+ na Ardi. Mwanzo 49:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 “Benyamini ataendelea kurarua kama mbwa-mwitu.+ Asubuhi atakula mnyama aliyekamatwa na jioni atagawanya nyara.”+ Kumbukumbu la Torati 33:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na Benyamini akamwambia:+“Mpendwa+ wa Yehova na akae katika usalama kando yake,+Anapomkinga siku nzima,+Naye lazima akae katikati ya mabega yake.”+
21 Na wana wa Benyamini walikuwa Bela+ na Bekeri+ na Ashbeli, Gera+ na Naamani,+ Ehi na Roshi, Mupimu+ na Hupimu+ na Ardi.
27 “Benyamini ataendelea kurarua kama mbwa-mwitu.+ Asubuhi atakula mnyama aliyekamatwa na jioni atagawanya nyara.”+
12 Na Benyamini akamwambia:+“Mpendwa+ wa Yehova na akae katika usalama kando yake,+Anapomkinga siku nzima,+Naye lazima akae katikati ya mabega yake.”+