Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 46:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na wana wa Benyamini walikuwa Bela+ na Bekeri+ na Ashbeli, Gera+ na Naamani,+ Ehi na Roshi, Mupimu+ na Hupimu+ na Ardi.

  • Mwanzo 49:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 “Benyamini ataendelea kurarua kama mbwa-mwitu.+ Asubuhi atakula mnyama aliyekamatwa na jioni atagawanya nyara.”+

  • Kumbukumbu la Torati 33:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na Benyamini akamwambia:+

      “Mpendwa+ wa Yehova na akae katika usalama kando yake,+

      Anapomkinga siku nzima,+

      Naye lazima akae katikati ya mabega yake.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki