Yoshua 18:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ndipo ilitokea kura+ ya kabila la wana wa Benyamini+ kulingana na familia zao, na eneo la kura yao likawa ni kati ya wana wa Yuda+ na wana wa Yosefu.+ Zaburi 68:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Tazama Benyamini mdogo akiwatiisha,+Wakuu wa Yuda pamoja na umati wao unaopaaza sauti,Wakuu wa Zabuloni, wakuu wa Naftali.+
11 Ndipo ilitokea kura+ ya kabila la wana wa Benyamini+ kulingana na familia zao, na eneo la kura yao likawa ni kati ya wana wa Yuda+ na wana wa Yosefu.+
27 Tazama Benyamini mdogo akiwatiisha,+Wakuu wa Yuda pamoja na umati wao unaopaaza sauti,Wakuu wa Zabuloni, wakuu wa Naftali.+