16 Kati ya watu hao wote kulikuwa na watu 700 waliochaguliwa, wenye kutumia mkono wa kushoto.+ Kila mmoja wa hao alikuwa mtupa-mawe+ kwa kombeo na angeweza kupiga shabaha unywele, bila kukosea.
16 “Karibu wakati kama huu kesho nitatuma mtu kwako kutoka katika nchi ya Benyamini,+ nawe umtie mafuta+ awe kiongozi juu ya watu wangu Israeli; naye atawaokoa watu wangu kutoka mkononi mwa Wafilisti,+ kwa sababu nimeona mateso ya watu wangu, kwa maana kilio chao kimenifikia.”+