Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 49:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 “Benyamini ataendelea kurarua kama mbwa-mwitu.+ Asubuhi atakula mnyama aliyekamatwa na jioni atagawanya nyara.”+

  • 1 Samweli 17:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Naye akachukua fimbo yake mkononi mwake, akajichagulia mawe matano, yaliyo laini kabisa, kutoka katika bonde la mto, akayatia katika mfuko wake wa mchungaji ambao ulikuwa mkoba wake, na kombeo+ lilikuwa mkononi mwake. Akaanza kumkaribia yule Mfilisti.

  • 1 Samweli 17:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 Ndipo Daudi akatia mkono wake ndani ya mfuko wake, akachukua jiwe kutoka humo, akalitupa kwa kombeo, hivi kwamba akampiga+ yule Mfilisti katika paji la uso wake, na lile jiwe likapenya ndani ya paji la uso wake, naye akaanguka kifudifudi.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 12:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 wenye upinde, wanaotumia mkono wa kuume na kutumia mkono wa kushoto+ wakiwa na mawe+ au wakiwa na mishale+ katika upinde.+ Walikuwa wa ndugu za Sauli, wa Benyamini.

  • 2 Mambo ya Nyakati 26:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na Uzia akaendelea kuwafanyia matayarisho, jeshi lote, ngao+ na mikuki+ na kofia+ na mavazi ya chuma+ na pinde+ na mawe ya kombeo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki