1 Samweli 17:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Ndipo Daudi akaongeza: “Yehova, aliyenikomboa kutoka katika makucha ya simba na kutoka katika makucha ya dubu, yeye ndiye atakayenikomboa kutoka mkononi mwa huyu Mfilisti.”+ Kwa hiyo Sauli akamwambia Daudi: “Nenda, na Yehova awe pamoja nawe.”+ 2 Samweli 21:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Hao wanne walikuwa wamezaliwa kwa Refaimu katika Gathi;+ nao wakaanguka kwa mkono wa Daudi na kwa mkono wa watumishi wake.+ 2 Samweli 22:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Nami nitawaangamiza na kuwavunja vipande-vipande,+ ili wasisimame;+Nao wataanguka chini ya miguu yangu.+ Zaburi 44:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana ulituokoa kutoka kwa wapinzani wetu,+Nawe ukawafanya waone aibu wale wanaotuchukia vikali.+
37 Ndipo Daudi akaongeza: “Yehova, aliyenikomboa kutoka katika makucha ya simba na kutoka katika makucha ya dubu, yeye ndiye atakayenikomboa kutoka mkononi mwa huyu Mfilisti.”+ Kwa hiyo Sauli akamwambia Daudi: “Nenda, na Yehova awe pamoja nawe.”+
22 Hao wanne walikuwa wamezaliwa kwa Refaimu katika Gathi;+ nao wakaanguka kwa mkono wa Daudi na kwa mkono wa watumishi wake.+
39 Nami nitawaangamiza na kuwavunja vipande-vipande,+ ili wasisimame;+Nao wataanguka chini ya miguu yangu.+
7 Kwa maana ulituokoa kutoka kwa wapinzani wetu,+Nawe ukawafanya waone aibu wale wanaotuchukia vikali.+