Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 17:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Ndipo Daudi akaongeza: “Yehova, aliyenikomboa kutoka katika makucha ya simba na kutoka katika makucha ya dubu, yeye ndiye atakayenikomboa kutoka mkononi mwa huyu Mfilisti.”+ Kwa hiyo Sauli akamwambia Daudi: “Nenda, na Yehova awe pamoja nawe.”+

  • 2 Samweli 21:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Hao wanne walikuwa wamezaliwa kwa Refaimu katika Gathi;+ nao wakaanguka kwa mkono wa Daudi na kwa mkono wa watumishi wake.+

  • 2 Samweli 22:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Nami nitawaangamiza na kuwavunja vipande-vipande,+ ili wasisimame;+

      Nao wataanguka chini ya miguu yangu.+

  • Zaburi 44:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kwa maana ulituokoa kutoka kwa wapinzani wetu,+

      Nawe ukawafanya waone aibu wale wanaotuchukia vikali.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki