Kumbukumbu la Torati 7:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Usishtuke kwa sababu yao, kwa maana Yehova Mungu wako yuko katikati yako,+ Mungu mkuu na mwenye kuogopesha.+ 2 Wafalme 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Lakini yeye akasema: “Usiogope,+ kwa maana wale walio pamoja nasi ni wengi kuliko wale walio pamoja nao.”+ Zaburi 18:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nitamwita, Yehova, Yule anayestahili kusifiwa,+Nami nitaokolewa kutoka kwa adui zangu.+ Zaburi 115:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ninyi mnaomwogopa Yehova, mtegemeeni Yehova;+Yeye ndiye msaada wao na ngao yao.+ 2 Wakorintho 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kutoka katika kitu kikubwa sana kama kifo alituokoa naye atatuokoa;+ na tumaini letu limo katika yeye kwamba atatuokoa zaidi pia.+ Waebrania 11:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 wakazuia nguvu za moto,+ wakaponyoka makali ya upanga,+ kutoka hali ya udhaifu wakafanywa kuwa wenye nguvu,+ wakawa mashujaa katika vita,+ wakayashinda kabisa majeshi ya wageni.+
21 Usishtuke kwa sababu yao, kwa maana Yehova Mungu wako yuko katikati yako,+ Mungu mkuu na mwenye kuogopesha.+
16 Lakini yeye akasema: “Usiogope,+ kwa maana wale walio pamoja nasi ni wengi kuliko wale walio pamoja nao.”+
10 Kutoka katika kitu kikubwa sana kama kifo alituokoa naye atatuokoa;+ na tumaini letu limo katika yeye kwamba atatuokoa zaidi pia.+
34 wakazuia nguvu za moto,+ wakaponyoka makali ya upanga,+ kutoka hali ya udhaifu wakafanywa kuwa wenye nguvu,+ wakawa mashujaa katika vita,+ wakayashinda kabisa majeshi ya wageni.+