Kutoka 14:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kisha Musa akawaambia watu: “Msiogope.+ Simameni imara muuone wokovu wa Yehova, atakaowafanyia ninyi leo.+ Kwa maana Wamisri mnaowaona leo hamtawaona tena, hasha, hamtawaona tena kamwe.+ Zaburi 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Sitaogopa maelfu kumi ya watuAmbao wamejipanga dhidi yangu kunizunguka pande zote.+ Zaburi 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nimemkimbilia Yehova.+Mnawezaje kuthubutu kuiambia nafsi yangu:“Kimbieni kwenye mlima wenu kama ndege!+ Zaburi 18:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova ni mwamba wangu na ngome yangu na Mwokoaji wangu.+Mungu wangu ni mwamba wangu. Nitamkimbilia,+Ngao yangu na pembe yangu ya wokovu, kilele changu salama.+ Zaburi 118:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Walinizingira, naam, walikuwa wamenizingira.+Nami niliendelea kuwazuilia mbali katika jina la Yehova.
13 Kisha Musa akawaambia watu: “Msiogope.+ Simameni imara muuone wokovu wa Yehova, atakaowafanyia ninyi leo.+ Kwa maana Wamisri mnaowaona leo hamtawaona tena, hasha, hamtawaona tena kamwe.+
11 Nimemkimbilia Yehova.+Mnawezaje kuthubutu kuiambia nafsi yangu:“Kimbieni kwenye mlima wenu kama ndege!+
2 Yehova ni mwamba wangu na ngome yangu na Mwokoaji wangu.+Mungu wangu ni mwamba wangu. Nitamkimbilia,+Ngao yangu na pembe yangu ya wokovu, kilele changu salama.+
11 Walinizingira, naam, walikuwa wamenizingira.+Nami niliendelea kuwazuilia mbali katika jina la Yehova.