2 Wafalme 6:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wakati mhudumu+ wa yule mtu wa Mungu wa kweli alipoamka asubuhi na mapema, akaenda nje, na, tazama, hapo jeshi lilikuwa limelizunguka jiji kwa farasi na magari ya vita. Mara moja mtumishi wake akamwambia: “Ole, bwana wangu!+ Tutafanya nini?” Zaburi 27:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Hata kambi ijapopiga hema dhidi yangu,+Moyo wangu hautaogopa.+Vita vijapozuka dhidi yangu,+Bado nitakuwa na tegemeo wakati huo.+ Zaburi 121:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yehova mwenyewe atakulinda na misiba yote.+Atailinda nafsi yako.+ Waroma 8:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+
15 Wakati mhudumu+ wa yule mtu wa Mungu wa kweli alipoamka asubuhi na mapema, akaenda nje, na, tazama, hapo jeshi lilikuwa limelizunguka jiji kwa farasi na magari ya vita. Mara moja mtumishi wake akamwambia: “Ole, bwana wangu!+ Tutafanya nini?”
3 Hata kambi ijapopiga hema dhidi yangu,+Moyo wangu hautaogopa.+Vita vijapozuka dhidi yangu,+Bado nitakuwa na tegemeo wakati huo.+
31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+