Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 6:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Wakati mhudumu+ wa yule mtu wa Mungu wa kweli alipoamka asubuhi na mapema, akaenda nje, na, tazama, hapo jeshi lilikuwa limelizunguka jiji kwa farasi na magari ya vita. Mara moja mtumishi wake akamwambia: “Ole, bwana wangu!+ Tutafanya nini?”

  • Zaburi 27:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Hata kambi ijapopiga hema dhidi yangu,+

      Moyo wangu hautaogopa.+

      Vita vijapozuka dhidi yangu,+

      Bado nitakuwa na tegemeo wakati huo.+

  • Zaburi 121:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Yehova mwenyewe atakulinda na misiba yote.+

      Atailinda nafsi yako.+

  • Waroma 8:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki