Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 19:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa hiyo akarudi, akaacha kumfuata na kisha akachukua jozi moja ya wale ng’ombe na kuwatoa dhabihu,+ na kwa kutumia vifaa+ vya wale ng’ombe, akatokosa nyama yao, akawapa watu, nao wakaanza kula. Kisha akaondoka, akaanza kumfuata Eliya, naye akaanza kumhudumia.+

  • 2 Wafalme 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa hiyo Yehoshafati akasema:+ “Je, hakuna nabii wa Yehova hapa?+ Basi na tumuulize Yehova kupitia yeye.”+ Na mmoja wa watumishi wa mfalme wa Israeli akajibu na kusema: “Pana Elisha+ mwana wa Shafati, aliyemimina maji juu ya mikono ya Eliya.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki