16 Na Yehu+ mjukuu wa Nimshi+ umtie mafuta kuwa mfalme juu ya Israeli; na Elisha+ mwana wa Shafati kutoka Abel-mehola+ umtie mafuta kuwa nabii mahali pako.+
15 Wakati wana wa manabii waliokuwa katika Yeriko walipomwona akiwa umbali fulani, wakaanza kusema: “Roho+ ya Eliya imetua juu ya Elisha.” Basi wakaja kumpokea, wakamwinamia.+