22 Na wale mia tatu+ wakaendelea kupiga baragumu,+ na Yehova akatia upanga wa kila mmoja juu ya mwenzake katika kambi yote;+ na kambi ikaendelea kukimbia hadi Beth-shita, hadi Serera, hadi kwenye mipaka ya Abel-mehola+ kando ya Tabathi.
12 Baana mwana wa Ahiludi, kule Taanaki+ na Megido+ na Beth-sheani+ yote, ambayo iko kando ya Sarethani+ chini ya Yezreeli,+ kutoka Beth-sheani mpaka Abel-mehola+ mpaka eneo la Yokmeamu;+