2 Utakapoingia humo, mwone Yehu+ mwana wa Yehoshafati mwana wa Nimshi humo; nawe uingie ndani na kumsimamisha kutoka katikati ya ndugu zake, umwingize katika chumba cha ndani kabisa.+
30 Mwishowe Yehu akafika Yezreeli,+ na Yezebeli+ akasikia habari hizo. Naye akapaka macho yake wanja+ na kukipamba kichwa chake,+ akatazama chini kupitia dirishani.+