1 Wafalme 20:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Na wale waliobaki wakakimbia mpaka Afeki,+ katika jiji; na ukuta ukaanguka juu ya watu 27,000 waliokuwa wamebaki.+ Naye Ben-hadadi akakimbia,+ mwishowe akafika jijini, akaingia katika chumba cha ndani kabisa.+ 1 Wafalme 22:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa hiyo Mikaya akasema: “Tazama! Utaona ni njia gani siku ile utakapoingia katika chumba cha ndani kabisa+ ili ujifiche.”+
30 Na wale waliobaki wakakimbia mpaka Afeki,+ katika jiji; na ukuta ukaanguka juu ya watu 27,000 waliokuwa wamebaki.+ Naye Ben-hadadi akakimbia,+ mwishowe akafika jijini, akaingia katika chumba cha ndani kabisa.+
25 Kwa hiyo Mikaya akasema: “Tazama! Utaona ni njia gani siku ile utakapoingia katika chumba cha ndani kabisa+ ili ujifiche.”+