11 Ndipo Yehoshafati akauliza: “Je, hakuna nabii wa Yehova mahali hapa ambaye tunaweza kumwomba ushauri kutoka kwa Yehova?+ Basi mmoja wa watumishi wa mfalme wa Israeli akajibu: “Yupo Elisha+ mwana wa Shafati, aliyekuwa akimmiminia Eliya maji mikononi.”+