Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 22:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Mungu wa kweli, njia yake ni kamilifu;+

      Neno la Yehova limetakaswa.+

      Yeye ni ngao kwa wale wote wanaomkimbilia.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 32:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Iweni hodari na wenye nguvu.+ Msiogope+ wala msiwe na hofu+ kwa sababu ya mfalme wa Ashuru+ na kwa sababu ya umati wote ulio pamoja naye;+ kwa maana kuna wengi walio pamoja nasi kuliko wale walio pamoja naye.

  • Zaburi 27:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Hata kambi ijapopiga hema dhidi yangu,+

      Moyo wangu hautaogopa.+

      Vita vijapozuka dhidi yangu,+

      Bado nitakuwa na tegemeo wakati huo.+

  • Zaburi 46:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Yehova wa majeshi yuko pamoja nasi;+

      Mungu wa Yakobo ni kilele chetu salama.+ Sela

  • Zaburi 55:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Hakika ataikomboa na kuiweka nafsi yangu katika amani mbali na vita vinavyofanywa juu yangu,+

      Kwa maana wakiwa umati wamekuja kuwa dhidi yangu.+

  • Waroma 8:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki