2 Samweli 22:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Mungu wa kweli, njia yake ni kamilifu;+Neno la Yehova limetakaswa.+Yeye ni ngao kwa wale wote wanaomkimbilia.+ 2 Mambo ya Nyakati 32:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Iweni hodari na wenye nguvu.+ Msiogope+ wala msiwe na hofu+ kwa sababu ya mfalme wa Ashuru+ na kwa sababu ya umati wote ulio pamoja naye;+ kwa maana kuna wengi walio pamoja nasi kuliko wale walio pamoja naye. Zaburi 27:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Hata kambi ijapopiga hema dhidi yangu,+Moyo wangu hautaogopa.+Vita vijapozuka dhidi yangu,+Bado nitakuwa na tegemeo wakati huo.+ Zaburi 46:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yehova wa majeshi yuko pamoja nasi;+Mungu wa Yakobo ni kilele chetu salama.+ Sela Zaburi 55:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hakika ataikomboa na kuiweka nafsi yangu katika amani mbali na vita vinavyofanywa juu yangu,+Kwa maana wakiwa umati wamekuja kuwa dhidi yangu.+ Waroma 8:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+
31 Mungu wa kweli, njia yake ni kamilifu;+Neno la Yehova limetakaswa.+Yeye ni ngao kwa wale wote wanaomkimbilia.+
7 “Iweni hodari na wenye nguvu.+ Msiogope+ wala msiwe na hofu+ kwa sababu ya mfalme wa Ashuru+ na kwa sababu ya umati wote ulio pamoja naye;+ kwa maana kuna wengi walio pamoja nasi kuliko wale walio pamoja naye.
3 Hata kambi ijapopiga hema dhidi yangu,+Moyo wangu hautaogopa.+Vita vijapozuka dhidi yangu,+Bado nitakuwa na tegemeo wakati huo.+
18 Hakika ataikomboa na kuiweka nafsi yangu katika amani mbali na vita vinavyofanywa juu yangu,+Kwa maana wakiwa umati wamekuja kuwa dhidi yangu.+
31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+