2 Samweli 22:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mungu wangu ni mwamba+ wangu. Nitamkimbilia,Ngao+ yangu na pembe+ yangu ya wokovu, kilele+ changu salama,Na mahali pangu pa kukimbilia,+ Mwokozi+ wangu; unaniokoa kutoka katika jeuri.+ Zaburi 18:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Mungu wa kweli, njia yake ni kamilifu;+Neno la Yehova limetakaswa.+Yeye ni ngao kwa wale wote wanaomkimbilia.+ Zaburi 35:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ushike ngao ndogo na ngao kubwa,+Na usimame ili unisaidie.+ Zaburi 91:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa manyoya yake ataweka kizuizi usiweze kufikiwa,+Nawe utapata kimbilio chini ya mabawa yake.+Ukweli+ wake utakuwa ngao+ kubwa na boma.
3 Mungu wangu ni mwamba+ wangu. Nitamkimbilia,Ngao+ yangu na pembe+ yangu ya wokovu, kilele+ changu salama,Na mahali pangu pa kukimbilia,+ Mwokozi+ wangu; unaniokoa kutoka katika jeuri.+
30 Mungu wa kweli, njia yake ni kamilifu;+Neno la Yehova limetakaswa.+Yeye ni ngao kwa wale wote wanaomkimbilia.+
4 Kwa manyoya yake ataweka kizuizi usiweze kufikiwa,+Nawe utapata kimbilio chini ya mabawa yake.+Ukweli+ wake utakuwa ngao+ kubwa na boma.