7 “Iweni hodari na wenye nguvu.+ Msiogope+ wala msiwe na hofu+ kwa sababu ya mfalme wa Ashuru+ na kwa sababu ya umati wote ulio pamoja naye;+ kwa maana kuna wengi walio pamoja nasi kuliko wale walio pamoja naye.
47 Na alipokuwa bado akisema, tazama! Yuda,+ mmoja wa wale kumi na wawili, akaja pamoja na umati mkubwa ukiwa na mapanga+ na marungu kutoka kwa wakuu wa makuhani na wanaume wazee wa watu.+