Yoshua 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Je, mimi sikukuamuru wewe?+ Uwe hodari na mwenye nguvu. Usitetemeke wala usiwe na hofu,+ kwa maana Yehova Mungu wako yupo pamoja nawe kila mahali unapoenda.”+ Yeremia 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Nao hakika watapigana nawe, lakini hawatakushinda,+ kwa maana ‘Mimi niko pamoja nawe,’+ asema Yehova, ‘ili nikukomboe.’”+ Waroma 8:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+
9 Je, mimi sikukuamuru wewe?+ Uwe hodari na mwenye nguvu. Usitetemeke wala usiwe na hofu,+ kwa maana Yehova Mungu wako yupo pamoja nawe kila mahali unapoenda.”+
19 Nao hakika watapigana nawe, lakini hawatakushinda,+ kwa maana ‘Mimi niko pamoja nawe,’+ asema Yehova, ‘ili nikukomboe.’”+
31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+