15 Na tazama, mimi nipo pamoja nawe, nami nitakutunza katika njia yote unayoenda, nami nitakurudisha kwenye nchi hii,+ kwa sababu sitakuacha mpaka niwe kwa kweli nimefanya hayo ambayo nimekuambia.”+
12 Naye akajibu: “Kwa sababu nitakuwa pamoja nawe,+ nayo hii ndiyo ishara kwako ya kwamba mimi ndiye niliyekutuma:+ Baada ya kuwatoa watu hao Misri, ninyi mtamtumikia Mungu wa kweli kwenye mlima huu.”+
5 Hakuna yeyote atakayesimama imara mbele yako siku zote za maisha yako.+ Nitakuwa pamoja nawe,+ kama vile nilivyokuwa pamoja na Musa. Sitakutupa wala kukuacha kabisa.+