Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 31:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mwishowe Yehova akamwambia Yakobo: “Rudi kwenye nchi ya baba zako na kwa watu wa jamaa yako,+ nami nitaendelea kuwa pamoja nawe.”+

  • Hesabu 23:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Mungu si mwanadamu kwamba aseme uwongo,+

      Wala si mwana wa binadamu kwamba ajute.+

      Je, yeye mwenyewe amelisema naye hatalitenda,

      Na je, yeye amesema naye hatalitimiza?+

  • Yoshua 23:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Basi sasa, tazameni! leo mimi ninaenda katika njia ya dunia yote,+ nanyi mnajua vema kwa mioyo yenu yote na kwa nafsi zenu zote kwamba halikukosa kutimia hata neno moja kati ya maneno yote mema ambayo Yehova Mungu wenu amewaambia ninyi. Yote yametimia kwenu. Halikukosa kutimia hata neno moja kati ya hayo.+

  • Waebrania 6:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 ili, kupitia mambo mawili yasiyobadilika ambayo katika hayo Mungu hawezi kamwe kusema uwongo,+ sisi ambao tumekimbia kwenda katika kimbilio tupate kuwa na kitia-moyo chenye nguvu kushikilia tumaini+ lililowekwa mbele yetu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki