Yoshua 21:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Hakuna ahadi hata moja iliyokosa kutimia katika ahadi zote nzuri ambazo Yehova alikuwa ameipa nyumba ya Israeli; mambo yote yalitimia.+ 1 Wafalme 8:56 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 56 “Abarikiwe Yehova,+ ambaye amewapa watu wake Israeli mahali pa kupumzika kulingana na yote ambayo ameahidi.+ Halikupungua hata neno moja+ kati ya ahadi zake zote nzuri ambazo ameahidi kupitia Musa mtumishi wake.+
45 Hakuna ahadi hata moja iliyokosa kutimia katika ahadi zote nzuri ambazo Yehova alikuwa ameipa nyumba ya Israeli; mambo yote yalitimia.+
56 “Abarikiwe Yehova,+ ambaye amewapa watu wake Israeli mahali pa kupumzika kulingana na yote ambayo ameahidi.+ Halikupungua hata neno moja+ kati ya ahadi zake zote nzuri ambazo ameahidi kupitia Musa mtumishi wake.+