Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 29:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Basi Daudi akambariki+ Yehova mbele ya macho ya kutaniko+ lote na Daudi akasema: “Na ubarikiwe,+ Ee Yehova, Mungu wa Israeli+ baba yetu, kutoka wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo.

  • 2 Mambo ya Nyakati 20:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Na katika siku ya nne wakakutana pamoja kwenye nchi tambarare ya chini ya Baraka, kwa maana walimbariki Yehova hapo.+ Ndiyo sababu walipaita mahali hapo jina+ Nchi Tambarare ya Chini ya Baraka—mpaka leo hii.

  • Zaburi 41:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Yehova Mungu wa Israeli na abarikiwe+

      Tangu wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo.+

      Amina na Amina.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki