1 Wafalme 8:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Naye akaendelea kusema: “Amebarikiwa Yehova+ Mungu wa Israeli, aliyesema kwa kinywa chake mwenyewe na Daudi+ baba yangu na kwa mkono wake mwenyewe ametimiza,+ akisema,
15 Naye akaendelea kusema: “Amebarikiwa Yehova+ Mungu wa Israeli, aliyesema kwa kinywa chake mwenyewe na Daudi+ baba yangu na kwa mkono wake mwenyewe ametimiza,+ akisema,