Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 44:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Yule anayelitimiza neno la mtumishi wake, na Yule anayelitekeleza kikamilifu shauri la wajumbe wake;+ Yule anayesema kuhusu Yerusalemu, ‘Atakaliwa,’+ na kuhusu majiji ya Yuda, ‘Yatajengwa upya,+ nami nitapainua mahali pake palipofanywa ukiwa’;+

  • Isaya 55:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 ndivyo litakavyokuwa neno langu linalotoka katika kinywa changu.+ Halitarudi kwangu bila matokeo,+ bali hakika litatenda yale ambayo yamenipendeza,+ na hakika litafanikiwa katika yale ambayo nimelituma.+

  • Tito 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 juu ya msingi wa tumaini la uzima wa milele+ ambao Mungu, asiyeweza kusema uwongo,+ aliahidi nyakati za zamani za kale,+

  • Waebrania 6:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 ili, kupitia mambo mawili yasiyobadilika ambayo katika hayo Mungu hawezi kamwe kusema uwongo,+ sisi ambao tumekimbia kwenda katika kimbilio tupate kuwa na kitia-moyo chenye nguvu kushikilia tumaini+ lililowekwa mbele yetu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki