24 Kwa maana alikuwa akitawala kila kitu upande huu wa ule Mto,+ kuanzia Tifsa mpaka Gaza,+ naam, wafalme wote upande huu wa ule Mto;+ naye akawa na amani+ katika maeneo yake yote, kuzunguka pande zote.
6 Naye akajenga majiji yenye ngome katika Yuda,+ kwa maana nchi haikuwa na usumbufu; na hapakuwa na vita juu yake wakati wa miaka hiyo, kwa maana Yehova alimpa pumziko.+
3 Kwa maana sisi ambao tumeonyesha imani tunaingia katika pumziko, kama vile ambavyo amesema: “Kwa hiyo niliapa+ katika hasira yangu, ‘Hawataingia+ katika pumziko langu,’ ”+ ijapokuwa kazi zake zilimalizwa+ tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu.+