2 Mambo ya Nyakati 14:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Alijenga majiji yenye ngome huko Yuda,+ kwa kuwa nchi haikuwa na usumbufu na hakuna yeyote aliyepigana vita naye katika miaka hiyo, kwa maana Yehova alimpumzisha.+
6 Alijenga majiji yenye ngome huko Yuda,+ kwa kuwa nchi haikuwa na usumbufu na hakuna yeyote aliyepigana vita naye katika miaka hiyo, kwa maana Yehova alimpumzisha.+