2 Mambo ya Nyakati 15:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na watu wote wa Yuda wakashangilia kwa sababu ya kiapo hicho, kwa maana walikuwa wameapa kwa moyo wao wote, walimtafuta kwa bidii naye akawaruhusu wampate,+ na Yehova akaendelea kuwapumzisha pande zote.+ Methali 16:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yehova anapofurahia njia za mtu,Huwafanya hata maadui wake wawe na amani naye.+
15 Na watu wote wa Yuda wakashangilia kwa sababu ya kiapo hicho, kwa maana walikuwa wameapa kwa moyo wao wote, walimtafuta kwa bidii naye akawaruhusu wampate,+ na Yehova akaendelea kuwapumzisha pande zote.+