24 Ndipo Mungu akamtokea Labani Mwaramu+ katika ndoto wakati wa usiku+ na kumwambia: “Uwe mwangalifu kuhusu mambo utakayomwambia Yakobo, yawe mema au mabaya.”+
24 Kwa maana nitayafukuza mataifa kutoka mbele yenu,+ nami nitapanua eneo lenu, na hakuna mtu atakayetamani nchi yenu mtakapokuwa mkipanda kwenda mbele za* Yehova Mungu wenu mara tatu kwa mwaka.