23Na ikawa kwamba baada ya siku nyingi Yehova alipokuwa amekwisha kuwapa Israeli pumziko+ kutoka kwa adui zao wote kuzunguka pande zote, wakati Yoshua alipokuwa mzee na mwenye siku nyingi,+
15 Na Yuda wote wakaanza kushangilia+ juu ya lile jambo waliloapa; kwa maana walikuwa wameapa kwa moyo wao wote nao walikuwa wamemtafuta kwa furaha kamili hivi kwamba yeye aliwaruhusu wampate;+ na Yehova akaendelea kuwapa pumziko kuzunguka pande zote.+