Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 23:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na ikawa kwamba baada ya siku nyingi Yehova alipokuwa amekwisha kuwapa Israeli pumziko+ kutoka kwa adui zao wote kuzunguka pande zote, wakati Yoshua alipokuwa mzee na mwenye siku nyingi,+

  • 2 Mambo ya Nyakati 15:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na Yuda wote wakaanza kushangilia+ juu ya lile jambo waliloapa; kwa maana walikuwa wameapa kwa moyo wao wote nao walikuwa wamemtafuta kwa furaha kamili hivi kwamba yeye aliwaruhusu wampate;+ na Yehova akaendelea kuwapa pumziko kuzunguka pande zote.+

  • Zaburi 46:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Anakomesha vita mpaka kwenye mwisho wa dunia.+

      Upinde anauvunja na kuukata mkuki vipande-vipande;+

      Magari ya kukokotwa anayateketeza motoni.+

  • Methali 16:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Yehova anapofurahia njia za mtu,+ huwafanya hata adui zake wawe na amani naye.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki