6 Nami nitaweka amani katika nchi,+ nanyi mtalala, pasipo yeyote wa kuwatetemesha;+ nami nitamkomesha katika nchi+ mnyama-mwitu mwenye madhara, nao upanga hautapita katika nchi yenu.+
44 Tena Yehova akawapa pumziko+ kuwazunguka pande zote, kulingana na kila kitu ambacho alikuwa amewaapia+ mababu zao, wala hakuna mmoja kati ya adui zao wote aliyesimama mbele yao.+ Yehova aliwatia adui zao wote mkononi mwao.+